REST IN PEACE LEONARD MAMBO MBOTELA LALA SALAMA 🇰🇪🇰🇪







Mwanahabari Leonard Mambo Mbotela ameenda mbinguni.Hii ni baada ya yeye kulazwa hospitalini wiki mbili huku Nairobi, Kenya. Tutamkumbuka kuwa Sauti Ya Kenya ambayo ilitupatia sisi WaKenya hekima, busara na maelezo ya maisha tunayoishi na hata vichekesho.

Uzalendo wake na Sauti yake ya kipekee haiwezi sahaulika  . Idhaa ya Taifa ambayo bado ni stadi kwa kazi yake kweli ilikuwa na Bingwa wa maneno,Mkubwa wa mawazo na Kiongozi wa wanahabari humu Kenya na pia Afrika Mashariki. Alitumikia Kenya vizuri sana akihimiza ungwana na mahusiano mema. Siku hazitoshi kuongea juu yake na marehemu wengine ambao walikuwa Mabingwa Ya Swahili kama yeye kama Mzee Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Shariff Nassir na Mzee Mwalimu Ken Walibora.

Mzee Leonard Mbotela , Enda na Yesu Yeshua.

Mwandishi ni Mkurugenzi wa QSTPS
Arthur Owiti /Tendaishe Owiti/Owiti


Comments

Popular posts from this blog

ALL HUMANS OF THE WORLD SHOULD RECEIVE UNIVERSAL BASIC INCOME /BASIC MONTHLY INCOME OF 70,000 US DOLLARS AKA 7 MILLION KENYA SHILLINGS TO HAVE SUSTAINABLE LIVES FOR POSTERITY AND MAINTAIN A HIGH STANDARD OF LIVING - WELCOME TO SOLOMONOMICS, YUDANOMICS, ISRANOMICS , MESHIACHNOMICS CHRISTNOMICS & MLKNOMICS FOR THE WHOLE RAINBOW WORLD OF GOD 🇮🇱🏳️‍🌈🏳️‍⚧️🇺🇳 🌍

BBC ARTICLE ON LESBIAN CAPITAL HEBDEN BRIDGE UK & QSTPS COMMENTS ON HEBDEN BRIDGE & THE RISE OF GAY & LESBIAN CAPITALS WITH RAINBOWNORMIA,NOT HETERONORMIA(HETERONORMATIVE), BEING THE NATURAL SET UP OF HUMAN SOCIETY

SPEAKING COMFORT TO THE BEREAVED AFTER THE FINANCE BILL FRACAS & SPEAKING PEACE TO KENYA ; REMINDING KENYA OF THE BLESSINGS WE RECEIVED WHEN PASTOR BENNY HINN CAME TO KENYA THIS YEAR 2024